SUMAJKT AGRI-BUSINESS COMPANY LTD

Kuhusu Sisi

Mwaka 2021, Shirika lilikabidhiwa shamba la ukubwa wa zaidi ya ekari 12,000 lililokuwa likijulikana kama Kilombero Plantation Limited (KPL). Kwa sasa shamba hilo linaitwa SUMAJKT Mngeta Plantation mkoani Morogoro ambako uzalishaji wa mpunga na mahindi kwa kiwango kikubwa unafanyika. Hii ni kutokana na shamba hili kuwa na miundombinu ya kisasa ya kilimo cha umwagiliaji, mashine za kuongeza thamani ya mazao yanayozalishwa na zinazosaidia kuhifadhi mazao ya mpunga na mahindi.

Pia, Shirika linazalisha mazao mbalimbali kama vile alizeti na maharage katika shamba lake lililopo Hanang mkoani Manyara, mpunga katika shamba la Chita (837 KJ) mkoani Morogoro, kilimo cha mahindi Milundikwa (847 KJ) mkoani Rukwa na Tanganyika Farm mkoani Katavi na mbegu za maua ya aina mbalimbali katika shamba la USA River mkoani Arusha.

MISSION

To provide is high level of professional cleaning, honestly and trustworthy of our labourers, cleaning and fumigation to the people leaders and properties, premises of Tanzanians.

VISION

To be the leading, mostly trustworthy, efficient, experience, confident, competent in Cleaning and Fumigation Company in Tanzania.

CORE VALUES

Leadership:
Always be exemplary in the provision of quality services and ensure continued improvement in the operational efficiency when delivery our services.

Integrity & Loyalty:
Demonstrating openness and honesty at all times and building strong connections with customers, staff and suppliers.

Knowledge:

Fostering a culture that encourages learning and personal development in the cleaning and fumigation industry.
SUMAJKT AGRI-BUSINESS COMPANY LTDĀ© 2023 | Imewezeshwa na Kutengenezwa na SUMAJKT
linkedin facebook pinterest youtube rss twitter instagram facebook-blank rss-blank linkedin-blank pinterest youtube twitter instagram